Namba Ya Upimaji___________________________
OFISI YA WAZIRI MKUU TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA
MTIHANI WA NUSU MUHULA - MACHI
HISTORIA YA TANZANIA NA MAADILI KIDATO CHA PILI
MUDA : Masaa 2:30
MAELEKEZO
SEHEMU A (Alama 15)
Jibu maswali yote katika sehemu hii
1. Chagua herufi ya jibu sahihi katika kipengele (i) mpaka cha (x) kisha andika herufi ya jibu sahihi katika sehemu ya karatasi ya mtihani uliyopewa
i. Katika somo la Historia ya Tanzania na Maadili neno Ukoloni lina maana gani?
ii. Ukoloni ulitokana na kustawi kwa mfumo wa ubepari. Mfumo huu wa ubepariulifikia hatua gani huko Ulayamagharibi hadi kuwalazimuwakolonikuvuka mipaka ya nchi zao ili kutafutarasilimali na masoko mapya za bidhaa zao?
iii. Mapinduzi ya viwanda katika nchi za ulayamagharibiyalisababisha ongezeko la mahitaji mbalimbali kama ifuatavyo isipokuwa
iv. Mwarabu wa kwanza kutawala kwa pamoja dola za Omani na Zanzibar kuanzia mwaka 1800 hadi 1856 baada ya kufarikialijulikana kama ……
v. Ukoloni ulishamiribarani Afrika katika karne za…….
vi. Katika utawala wa Kijerumani, koloni la Tanganyika lilijulikana kwa jina la…
vii. Ni mkataba gani wa amani wa mwaka 1919 ulioamuru kwamba makoloni yote yaloyokuwa ya
Wajerumaniyakabidhiwe kwa mataifayaliyoshinda vita kuu ya kwanza ya Dunia?
viii. Shughuli za biashara wakati wa utawala wa Waingerezazilifanywa na watu wa jamii ya Kiasia hasa Waarabu na Wahindi pamoja na…….;
ix. Mabadiliko ya kisiasa wakati wa utawala wa Waingerezayalihusisha pia kuanzishwa kwa mfumo wa matumizi ya utawala wa kiuwakala. Utawala huu ulianzishwa mwaka 1926 na Gavana wa kiingerezaaliyejulikana kwa jina la.;
x. Katika utawala wa Waingerezakuliundwashirikisho la machifu, kwa kila kabila kumteuachifummoja kuwa kiongozi mwandamizi wa wengine. ChifuFundikiraaliteuliwa kuongoza machifu wa.?
MAJIBU:
| i | ii | iii | iv | v | vi | vii | viii | ix | x |
| . |
2. Oanisha SAFU A kwa kutoajibu sahihi kutoka katika SAFU B kisha andika herufi ya jibu sahihi katika visanduku chini yake.
| SAFU A | SAFU B |
| i. Tanganyikailiwekwa rasmikwenye utawala wa waingereza ii. walitumiamfumo wa kiuwakala katika utawala wao iii. Maarufu kwa biasharaya watumwa iv. Ujerumani ilichukua rasmi mamlaka ya kiutawala Africa ya Mashariki v. Mwinyi mkuu |
|
MAJIBU:
| i | ii | iii | iv | v |
| . |
SEHEMU B (Alama 70)
Jibu maswali yote katika sehemu hii
3. Ukuaji wa mfumo wa ubepari hadi kufikia ubeberu katika robo ya mwisho ya karne ya 19 uliambatana na mapinduzi ya viwanda katika nchi za ulayamagharibi. Kwa hoja tano eleza mahitaji yaliyosababishwa na mapinduzi ya viwanda huko ulaya
4. Wakoloniwalitumia mbinu mbalimbali kuanzisha na kuimarisha tawala zao barani Afrika. Kwa hoja tano eleza mbinu zilizotumika kuanzisha na kuimarisha utawala wa kikoloni katika jamii za Kitanzania.
5. SultaniSeyyidSaid bin Sultan alihamisha makazi yake kutoka Omani kuja Zanzibar mwaka 1840. Kwahoja tano eleza sababu za kiongozi huyo wa utawala wa Waarabukuhamisha makazi yake kuja Zanzibar.
6. Mifumo ya kisiasa na kiuchumi ilikuwa na mchango mkubwa sana katika kukuza maadili ya jamii za asili ya Tanzania, unadhani ni ipi michango ya mifumo hiyo ya kisiasa na kiuchumi katika jamii za asili ya Tanzania.
7. Wakoloniwalijenga njia za uchukuzi na mawasiliano kama vile barabara, reli na bandari. Kwa hoja tano (5) eleza umuhimu wa miundombinu hiyo katika shughuli za serikali za kikoloni
8. Wanafunzi wa shule ya sekondari Kwadoe walitakiwa kufanya utafiti kwa njia ya mtandao ili kubaini tunu mbalimbali za taifa, unadhani ni tunu zipi hizo walizobaini na kuziandika katika ripoti yao.
9. Mabadiliko ya kijamii katika utawala wa Wajerumani na Waingerezayalijikita Zaidi katika utoaji wa huduma za msingi kama elimu, afya, maji, umeme na miundombinu, lengo ni kurahisisha utekelezaji wa malengo ya kikoloni. Kwa hoja tano (5) eleza sifa za elimu ya kikoloni wakati wa utawala wa Wajerumani
SEHEMU C (Alama 15)
Jibu swali namba 10
10. Mchango wa ukoloni katika uhusiano wa Tanzania na mataifayaliyoitawala ni mkubwa sana kwani ulileta mabadiliko mengi katika nyanja za kisiasa, kiuchumi na kijamii katika jamii za kitanzania. kwa hoja sita eleza athari hasizilizotokana na utawala wa kikoloni katika jamii za kitanzania
FORM TWO HISTORIA EXAM SERIES 229
FORM TWO HISTORIA EXAM SERIES 229
OFISI YA WAZIRI MKUU TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA
MTIHANI WA NUSU MUHULA - MACHI 2026
HISTORIA YA TANZANIA NA MAADILI KIDATO CHA PILI
MUDA : Masaa 2:30 Machi 2026
MAELEKEZO
SEHEMU A (Alama 15)
Jibu maswali yote katika sehemu hii.
1. Kwa kila moja ya vipengee (i)–(x), chagua jibu sahihi kutoka katika mapendekezo yaliyotolewa na andika herufi yake kwenye kisanduku kilichotolewa.
(i) Historia ya Tanzania ni mfululizo wa matukio ya
(ii) Maadili ya Kitanzania yanatokana na
(iii) Makundi makuu manne ya jamii za Kitanzania ni
(iv) Moja ya athari za ukoloni katika maadili ya Kitanzania ni
(v) Ukoloni ulianza kwa nguvu kubwa nchini Tanganyika mwaka
(vi) Sababu kuu ya ukoloni ilikuwa
(vii) Moja ya maadili yaliyoharibiwa na ukoloni ni
(viii) Jamii za Kitanzania zilipinga ukoloni kwa sababu
(ix) Maadili ya Kitanzania yanachangia
(x) Ukoloni ulileta mfumo mpya wa maadili unaoitwa
2. Oanisha vipengee kutoka ORODHA A na maelezo yanayolingana kutoka ORODHA B. ORODHA A ina vipengee vitano (i-v) vinavyohusu sababu kuu za ukoloni wa Kitanzania, na ORODHA B ina vipengee saba (A-G) vinavyotoa maelezo au mifano yanayohusiana.
| ORODHA A | ORODHA B |
| (i) Kustawi kwa Ubepari na Ubeberu Ulaya Magharibi (Karne ya 19) (ii) Mahitaji ya Malighafi kwa Viwanda vya Ulaya (iii) Hitaji la Masoko Mapya na Maeneo ya Uwekezaji Mitaji (iv) Ushindani wa Kisiasa na Kijeshi kati ya Mataifa ya Ulaya (v) Kueneza Dini ya Kikristo |
|
SEHEMU B (Alama 40)
Jibu maswali yote katika sehemu hii.
3. Eleza kwa ufupi maana ya maneno yafuatayo:
4. Toa mifano minne ya makundi ya jamii za Kitanzania na asili zao.
5. Eleza sababu nne kuu za kuanza kwa ukoloni nchini Tanganyika.
6. Eleza athari tano za ukoloni katika maadili ya jamii za Kitanzania.
7. Thibitisha kwa hoja tano kwamba ukoloni ulidhoofisha maadili ya umoja na ushirikiano wa jadi.
8. Eleza umuhimu wa maadili ya Kitanzania katika kujenga taifa lenye mshikamano (hoja tano).
SEHEMU C (Alama 45)
Jibu maswali yote katika sehemu hii.
9. Eleza jinsi ukoloni ulivyoharibu maadili ya umiliki wa pamoja na kuleta umiliki wa kibinafsi (hoja tano).
10. Jadili kwa nini ni muhimu kurudisha na kuimarisha maadili ya jadi ya Kitanzania katika enzi ya kisasa (hoja tano).
11. Toa hoja tano za jinsi historia ya Tanzania na maadili inavyoweza kusaidia katika kuzuia migogoro ya kikabila na kidini leo.
FORM TWO HISTORIA EXAM SERIES 226
FORM TWO HISTORIA EXAM SERIES 226