OFISI YA WAZIRI MKUU TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA
MTIHANI WA KUMALIZA MUHULA WA KWANZA
KISWAHILI KIDATO CHA TATU
MUDA: SAA 3:00. MEI, 2026
MAELEKEZO
SEHEMU A (Alama 16)
Jibu maswali yote kutoka katika sehemu hii
1. Chagua herufi ya jibu sahihi kwa vipengele (i) hadi (x), kisha andika herufi hiyo katika karatasi za kujibia.
(i). Kwa kutumia ngeli ya tatu, Onesha kiambishi cha O-rejeshi kinachotumika katika ngeli hiyo,
(ii). Mzee Mitomingi katika maongezi yake hupenda kutumia maneno yanayotoa taarifa na sifa zaidi kuhusu nomino. Je mzee Mitomingi hutumia maneno yapi kati ya haya?
(iii). Badra alipoingia darasani alitamka “Shangazi yupo shambani kwake “. Kifungu hicho cha maneno aliyotamka Badra kipo katika ngeli gani kati ya hizi?
(iv). Joti alitaja sifa mbalimbali za tungo kisha akawauliza wanafunzi wenzake wa Kidato cha Tatu wabaini kati ya sifa hizo ni ipi si sifa sahihi ya tungo?
(v) Menjano hakuwa anafahamu maneno yaliyoundwa kwa njia ya muambatano. Msaidie mwanafunzi huyu kwa kubaini maneno hayo katika kikundi cha maneno yafuatayo;
(vi) Lugha huwa na dhima tofauti tofauti katika mawasiliano. Ukiwa kama mwanafunzi wa kidato cha tatu, taja ni ipi dhima kuu ya lugha katika mawasiliano kati ya hizo zifuatazo.
(vii) Kifaruhongo alikuwa hafahamu kitendo cha kupanda na kushuka kwa mawimbi ya sauti katika uzungumzaji huitwaje. Mueleze Kifaruhongo kua kitendo hicho hujulikana kama?
(viii) Mwalimu Sabrina alipomuuliza Kamkwange nini maana ya lugha, Kamkwange alijibu “ Ni chauti za Nachibu”. Mwalimu alifurahi na kusema hongera kaka wa kimakonde. Mwalimu aligundua ni mmakonde kwa sababu ya?
(ix) Afrika ya Kusini ni nchi tajiri sana. Neno ya kusini limetumika kama
(x) Zingatia tungo hizi mbili, kisha baini neno zuri limetumika kama aina gani ya neno katika mfuatano wa tungo hizo. Simai alinunua shati zuri sana na zuri lipo barabarani.
2. Oanisha sentensi zilizopo katika Orodha A na tamathali za semi zilizopo katika Orodha B. Kisha andika herufi ya jibu sahihi.
| ORODHA A | ORODHA B |
| (i) Mtoto anayelia alikuwa uani. (ii) Furaha ni mrembo na msafi ndiyo maana kila apitapo nzi humfuata. (iii) Ashaboko anatembea mithili ya twiga. (iv) Wachezaji waliposhinda nyasi zote zilishangilia kwa furaha. (v) Hayati Magufuli alikuwa simba wetu. (vi) Alivaa shati moja mwaka mzima. |
|
SEHEMU B (Alama 54)
Jibu maswali yote katika sehemu hii
3. Baadhi ya wanafunzi wa kidato cha nne walisahau maana ya dhana zitumikazo katika Kiswahili. Msaidie kufasili dhana hizo kwa kutumia mifano kuntu
4. a) O – rejeshi hufuata mfumo wa upatanisho wa kisarufi katika ngeli. Bainisha O – rejeshi katika sentensi zifuatazo.
b) tumia ujuzi wako kama mtaalamu wa lugha kurekebisha upatanisho wa kisarufi katika tungo zifuatazo,
5. Ili kuunda tungo za lugha ni muhimu kufahamu nafasi,umuhimu na majukumu ya kila kiambajengo cha husika. Tumia maarifa hayo kutunga sentensi zenye miundo ifuatayo tu.
6. BAKITA ilianzisha tuzo maalumu kwa wanafunzi watakaoweza kuchanganua sentensi za Kiswahili kwa usahihi. Wewe kama mwanafunzi unayewania tuzo hiyo waoneshe umahiri wako katika kuchanganua sentensi hizi kwa mkabala wa kimuundo kwa kutumia njia ya matawi.
7. Viambishi awali ni sawa na unga wa ngano ambao huweza kutumika kwa namna mbalimbali ili kutekeleza majukumu yake. Ili kuthitisha hilo taja majukumu sita (6) ya viambishi awali kwa mifano halisi na imara.
8. Kuja kwa wakoloni Afrika Mashariki kulisaidiaje kukuza msamiati wa Kiswahili nchini Tanzania. Fafanua dai hili kwa hoja nne (4).
SEHEMU C (Alama 30)
Jibu maswali mawili katika sehemu hii. Swali la (9) ni la lazima
9. ‘Mhakiki wa kazi ya fasihi huwa na sifa anwai’ ’kwa kutumia mifano madhubuti jadili sifa sita (6) za mhakiki bora wa kazi ya fasihi andishi .
ORODHA YA VITABU
USHAIRI
RIWAYA
TAMTHILIYA
10. “Watoto na vijana ni taifa la kesho lakini kundi hilo linaleta matatizo mengi katika jamii”. Hakiki kauli hii kwa kutoa ho]a tatu (3) kutoka katika tamthiliya mbili ulizosoma darasani.
11. Riwaya huwa zinatoa u]umbe kama zilivyo kazi nyingine za fasihi. Thibisha dai hili kwa kwa hoja tatu (3) kutoka katika kila riwaya uliyosoma darasani.
12. Kila kitu hu]ipambanua kwa sifa zake. Eleza sifa sita (6) za fasihi simulizi zinazo]ipambanua na fasihi andishi kwa mifano halisi.
FORM THREE KISWAHILI EXAM SERIES 260
FORM THREE KISWAHILI EXAM SERIES 260

FORM THREE KISWAHILI EXAM SERIES 229
FORM THREE KISWAHILI EXAM SERIES 229
JAMUHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
OFISI YA RAISI, TAWALA ZA MIKOA NA SEREKALI ZA MITAA
MTIHANI WA KISWAHILI KIDATO CHA TATU.
MAELELKEZO
SEHEMU A.
| ORODHA A | ORODHA B |
| (i) Neno pamoja na taarifa zake zote zilizo ndani ya kamusi |
|
| (ii) Hali ya neno au senensi kuwa na maana zaidi ya moja | |
| (iii) Ni maneno yasiyo sanifu yaliyoanzishwa na kikundi cha watu wenye utamaduni mmoja | |
| (iv) Ni neno linaloingizwa katika kamusi ili lifafsanuliwe | |
| (v) Ni matumizi ya lugha kulingana na muktadha maalumu | |
| (vi) Ni sehemu ya sentensi inayokaliwa na mtenda au mtendwa wa jambo |
SEHEMU B
b) Taja ngeli husika kutokana na sifa zifuatazo:
SEHEMU C
Jibu maswali mawili kutika sehemu hii
FORM THREE KISWAHILI EXAM SERIES 167
FORM THREE KISWAHILI EXAM SERIES 167
OFISI YA RAIS, TAWALA ZA MIKOA
NA SERIKALI ZA MITAA
JAMUHURI YA MUUNGANO YA TANZANIA
MTIHANI WA MWISHO MUHULA
KIDATO CHA TATU
KISWAHILI 2023
Muda 2:30
MAELEKEZO
SEHEMU A (15)
| Kifungu A | Kifungu B |
|
|
SEHEMU B (ALAMA 55)
(b)Changanua sentensi zifuatazo kwa njia ya ngoe kwa
SEHEMU C (30)
FORM THREE KISWAHILI EXAM SERIES 133
FORM THREE KISWAHILI EXAM SERIES 133
WIZARA YA ELIMU SAYASI NA TEKNOLOJIA
SHULE YA SEKONDARI KIZUKA
MTIHANI WA MUHULA WA KWANZA
KISWAHILI - KIDATO CHA TATU
Muda: Saa 2:30
MAELEKEZO
SEHEMU A (Alama 15)
Jibu maswali yote kutoka sehemu hii
| ORODHA A | ORODHA B |
|
|
SEHEMU B (Alama 40)
SARUFI, UTUMIZI WA LUGHA, MAENDELEO YA KISWAHILI
Jibu maswali yote katika sehemu hii
Huwezi kuwazuaia, waliokubaliana
Mimi wananitumia, wapate kuelewana,
Kanuni wazingatia, ili kuwasiliana,
Sauti zangu nasibu, hakuna wa kukanusha
Mfumo wangu makini, Sauiti kupangilia,
Maneno kuyatumia, yenye mpangilio sawa,
Sentensi kuzitumia, mawazo kupangilia,
Sauti zangu nasibu, hakuna wa kukanusha
MASWALI
SEHEMU C (Alama 45)
Jibu maswali matatu (3) tu katika sehemu hii, swali la kumi (10) ni la lazima
FORM THREE KISWAHILI EXAM SERIES 131
FORM THREE KISWAHILI EXAM SERIES 131
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
OFISI YA RAIS, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA
KISWAHILI KIDATO CHA TATU
MUDA: SAA 3:00 MAY 2022
MAELEKEZO
SEHEMU A
Jibu maswali yote katika sehemu hii
| ORODHA A | ORODHA B |
|
|
SEHEMU B (Alama 40)
Jibu maswali yote ya sehemu hii kwa kuzingatia maelekezo ya kila swali.
SEHEMU C (Alama 45)
Jibu maswali matatu (3) kutoka sehemu hii
FORM THREE KISWAHILI EXAM SERIES 90
FORM THREE KISWAHILI EXAM SERIES 90
OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA
MTIHANI WA MWISHO WA MUHULA WA KWANZA
KIDATO CHA TATU
021KISWAHILI
(Kwa watahiniwa Walioko na Wasiokuwa Shuleni)
MUDA: SAA 3 MEI 2021
Maelekezo
1. Karatasi hii ina sehemu A, B na C zenye jumla ya maswali kumi na mbili (12).
2. Jibu maswali yote kutoka sehemu A, Bna chagua maswali matatu (03)kutoka sehemu C.
3. Zingatia maagizo ya kila sehemu na kila swali.
4.Andika kwa kutumia kalamu ya wino wa bluu au nyeusi
5. Simu za mkononi na vitu vyote visivyoruhusiwa haziruhusiwikatika chumba cha mtihani.
6. Andika namba yako ya mtihani katika kila karatasi yako ya kujibia.
A: Kitenzi B: Kielezi C: Kivumishi
D: Kiwakilishi E: Kiunganishi
(ii) Katika lugha ya Kiswahili kuna aina ngapi za Vitenzi.
A: Mbili B: Tano C: Sita
D: Tatu E: Nne
(iii) Maneno yapi kati ya haya yafuatayo yametokana na lugha ya Kibantu.
A: Kitindamimba ba bendera B: Hela za mtoto
C: Kitivo na ngeli D: Godoro na sharubati
E: Bunge na Shule
(iv) Ni mambo gani muhimu ya kuzingatia katika kuteua maneno na miundo
ya tungo wakati wa mazungumzo.
A: Mada, muktadhia wa mazungumzo ya aina kwa nia
B: Mada, mazungumzo na uhusiano wa wazungumzaji
C: Mada, mzungumzaji na muktadha wa mazungumzo
D: Mada, mzungumzaji na uhusiano wa wazungumzaji
E: Mada, muktadha na uhusiano wa wazungumzaji.
(v) Bainisha kauli unayoonyesha dhima muhimu za vitendawili katika jamii za
vitendawili katika jamii.
A. Kuhimiza umoja na mshikamano.
B. Kupanga watu katika marika yao.
C. Kuchochea udadisi wa mambo
D. Kuchochea uwongo wa mambo.
E. Kukosoa wadadisi wa mambo.
(vi) Njia mojawapo ya kuzuia utata katika lugha ya mazungumzo ni ipi kati ya zifuatazo?
A. Kuepuka makosa ya kisarufi na kimantiki
B. Kutumia neno lenye maana zaidi ya moja
C. Kutumia kiwakilishi kiambata katika neno
D. Kuweka msisitizo au ufafanuzi zaidi
E. Kutumia misimu sahihi za wakati.
(vii) ‘’Wanafasihi hutumia wahusika wenye mienendo hiyo’’ katika tamthiliya ulizosoma, ni wahusika wapi kati ya wafuatao wana mienendo isiyokubalika?
A. Joti, Ngoswe na Mama Furaha
B. Padri James, Ngoswe na Baba Anna.
C. Mazoea, Mama Furaha na Joti
D. Ngoswe, Baba Anna na Suzi
E. Ngoswe, Joti na Padri Jamaes
(viii) Kati ya sababu zifuatazo ni ipi si sahihi kuhusu matumizi ya Kamusi?
A. Kujifunza Lugha ya Kigeni
B. Kusanifisha maneno mapya
C. Kubaini kategoria ya neno
D. Kujua maana za maneno
E. Kujua tahajia za maneno.
(ix) Ni methali ipi inayokinzana na methali ‘’Umoja ni nguvu, utengano ni udhaifu.’’
A. Manahodha wengi, chombo huenda mrama.
B. Palipo na wengi, hapaharibiki neno
C. Haba na haba, hujaza kibaba.
D. Kidole kimoja, hakivunji chawa
E. Fimbo ya mnyonge, ni umoja
(x) Upachikaji wa Viambishi katika mzizi wa neno huitwaje?
A. Mnyambuliko B. Utohoaji C. Uambishaji
D. Viambishi E. Kukopa maneno
Orodha B na uandike herufi ya jibu sahihi pembeni na swali.
| ORODHAA | ORODHAB |
| (i) Tungo shurutia ukwasi | A. Rejesta ya Tanga |
| (ii) Kimtang’ata | B. Angeliniita ningeitika |
| (iii) Malaika, Shetani, Mzimu | C. Lahaja ya Kiswahili |
| (iv) Juzi asubuhi | D. Nomino za mguso |
| E. Njeo ya ya wakati wa mazoea | |
| F. Nomino za dhahania | |
| G. Kirai kielezi | |
| H. Utajiri |
SEHEMU B: (ALAMA 40)
Jibu maswali yote kutoka sehemu hii
(a) Anawaandikisha
(b) Mkimbizi
(c) Mlaji
(d) Muumbaji
(e) Nisingelipenda
(f) Kuburudika
(g) Sadifu
(h) Aliokota
(i) Walichopoka
(j) Kipambanuliwe.
(a) Amejificha kwa kuwa hapendi anione
(b) Kukataa kwa Mwajuma kumesababisha matatizo mengi.
(c) Amelima shamba kwa jembe
(d) Ameenda kwa Mwalimu
(e) Amesafiri kwa ndege
(a) Pili alimwandikia barua Asha
(b) Wizi wa Silaha umeongezeka
(c) Mwalimu ameijia fedha yake
(d) Mtoto amelalia uji
(e) Mama amenuena Mbuzi
SEHEMU C: (ALAMA 45)
Jibu maswali matatu tu toka sehemu hii
1
FORM THREE KISWAHILI EXAM SERIES 55
FORM THREE KISWAHILI EXAM SERIES 55